Recent Posts

Kwanza,haiwezekani habari moja iwe kichwa cha habari katika magazeti,luninga au blogu.Haiingii akilini aina ya habari moja kuwa kicha cha habari katika vyombo vyote vya habari na ukisoma zaidi habari hizo zinakizana.

Namwamini Mungu,mwingi wa rehema,habari yake huwezi kucopy na kupaste kama wengi tunavyofanya,namwamini Mungu,mweza wa vyote.

Posted by nyahbingi worrior. Sunday, July 29, 2012

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo