Recent Posts

unajuwa bwana lugha ya kule kwa kina nani inavutia sana ndio maana wakati mwingine kama huu napenda kutumia lugha yao.

More techings,mafundisho zaidi.

Vijana wanakosa maadili kwa kuwa hakuna more techings,
vijana wanatesaka kwa kuwa hakuna more techings,
Hekima ndani yetu imepotea kwa kuwa hakuna more techings,
binadamu wanapigana kwa kuwa hakuna more techings,
misri,tunisia,libya,sudan vita tupu kwa kuwa no more techings.

kwa hiyo....

we want the youth to learn so more,RASTAFARIAN TEACHINGS.

Posted by nyahbingi worrior. Monday, March 21, 2011

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo