Recent Posts

Kuna watu kati yetu au kuna bin adamu kati yetu wanajiona wao wanafaa zaidi ya wengine,pia kuna watu au bin adam wao wanapenda wapewe special interest zaidi ya wengine.

Nabii Afande Sele wa Morogoro aliwahi kuuliza na bado anauliza,kuna tofauti gani kati ya wale wanaoishi masaki na manzese?kwani wote hawa wawili wakifa miili yao haiozi?

Kuna watu wanadhani ya kwamba Mungu atawapa special interest kipindi wanakufa.Miili yetu ni vumbi,tutarudi mavumbini,haijalishi wewe au mimi uko uegenini,umeolewa,unawatoto,una mali n.k.

Posted by nyahbingi worrior. Sunday, March 13, 2011

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo