Recent Posts

Na Socrates ,mwanafalsafa wa Uyunani ya kale alipata kuonekana akimulika KURUNZI mchana wa jua kali.Inaandikwa kuwa Socrates yule alizunguka sokoni na kurunzi yenye kumulika.Watu walimwuliza,kulikoni?

Socrates akawajibu;

''Kwenye NURU HII,KUNA WALIO GIZANI.''

Posted by nyahbingi worrior. Tuesday, June 19, 2012

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo