Recent Posts

hii ilikuwa 17/7/2010 kule Bungo Kibaha,hawa ni wasanii wanaodumisha utamaduni katika nchi yetu ya Tanzania,wako tofauti na wale wasanii wanaodumisha utamaduni wa mwafrika kule ugenini kwa ni nyumbani(ughaibuni).

Takribani miaka 5 nimekuwa na hiki kikundi,mwanzilishaji wa kikundi,wote ni wasanii,kwasasa nimewaachia na wengine waonyeshe vipaji vyao katika kuelimisha utamaduni wa Mwafrika Afrika.

Posted by nyahbingi worrior. Saturday, July 17, 2010

5 comments

  1. mwandani anasema:
  2. safi sana kaka!

     
  3. Mija Shija Sayi anasema:
  4. Mbona hauonyeshi kama ni mmoja wao? Inaonekana kama umeshuka kutoka ughaibuni...

    Hongera sana lakini.

     
  5. Yasinta Ngonyani anasema:
  6. Hongera kaka, inapendeza!!

     
  7. John Mwaipopo anasema:
  8. wakilisheni ipasavyo. ila kama alivyosema mija unaonekaka kama an alien.

     
  9. @Mwandani ahsante kaka.
    @Mija ahsante kwa mtazamo wako.
    @Yasinta Thanks
    @Mwaipopo kweli?

     

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo