Recent Posts

Inawezekanaye mtu mmoja anakuwa na kakzi zaidi ya 1?

Mfano;

Ni mwalimu,mkulima,mfanya biashara kubwa kubwa na ndogo ndogo,mlezi n.k.........Inakuja kweli hii?au tunababaisha tu?

Posted by nyahbingi worrior. Saturday, July 31, 2010

3 comments

  1. John Mwaipopo anasema:
  2. wanasema maisha yetu kwa ujumbla ni ya kuchakachua!

     
  3. chib anasema:
  4. Mtu huyo bado hajajua nini cha kufanya, ndio maana anadaka kote kote

     
  5. Mija Shija Sayi anasema:
  6. Haiwezekani rasta.

     

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo