Recent Posts

Utakatifu ni nini?
kwanini tubishane kuhusu utakatifu?
yeye ni mtakatifu katika fani yake,anajuwa kwanini kajiita mtakatifu.

Mtakatifu(jina) laweza kuwa a.k.a,i mean laweza kuwa kama notorious b.i.g.,2pac, n.k,kwahiyo kwa yeye kujipa jina laUtakatifu laweza kuwa A.K.A kwake.

Posted by nyahbingi worrior. Friday, July 30, 2010

2 comments

  1. Simon Kitururu anasema:
  2. Chaajabu naamini hakuna Binadamu awezaye kuwa MTAKATIFU!:-(

     
  3. Mkuu,umenena,nadhani mtakatifu ni nomino tu,au sio.

     

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo