Recent Posts

if you dont care about yourself sometimes your dont die,but if you care alot about yourself,your kids,wife,husband they will die soon.

Mimi siamini katika msemo wa mtu kafa kwa ukwimi au nikitumia kondom sitokufa,mtu anavaa kondom sio kuogopa ukimwi bali kifo.

...if you think sana about yourself you will die.

...kipindupindu....umewahi kunywa (kwa wale wa nyumbani tu) maji ambayo bata katoka kuyachezea?.........

umewahi kupika mechele ambao umechanganywa na vipande na vyupa vya soda?

umewahi kukaa siku 5 wewe chuo hukijui?

if you think too much about yourself you will die.

Posted by nyahbingi worrior. Sunday, December 26, 2010

3 comments

  1. Mija Shija Sayi anasema:
  2. Asante kwa kutukumbusha.

     
  3. emuthree anasema:
  4. Twashukuru kwa ukumbusho huu

     
  5. Unknown anasema:
  6. Zaidi tena tuambie

     

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo