Recent Posts

Kuna wale wanao ishi na kuna wale wanaosindikaza wale wanaoishi.
Kuna wale wanao lala na kuna wale wanaopumzika.

Umewahi kujiuliza umuhimu wa kuwepo hapa duniani?

Ni vitu gani ambavyo vinamfanya binadamu awepo hai?

Je kwa maisha ninayoishi mimi au wewe unaona umuhimu wowote wa kuwepo hai?

Kuna wale wapendao kuwepo hai ili kutimiza mambo flani katika maisha yao na kuna wale ambao wapo hai kwasababu tu Mungu bado hajaamuwa mambo yake.

Posted by nyahbingi worrior. Friday, March 18, 2011

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo