Recent Posts

Unaogopa?

Leo nimepita kuuliza bei ya jeneza maeneo ya Manzese,majeneza yanapendeza sana,rangi na urembo ulio tiwa ndani ya majeneza hayo yavutia mpaka unatamani kujaribu kuingia ndani ya jeneza.

Jeneza ni bidhaa kama bidhaa ingine yoyote ile na kila mmoja wetu aruhusa ya kwenda kuangali,kuchaguwa na kuulizia bei ili ukiondoka ujuwe bei zote za jeneza.

Kuna majeneza aina tofauti tofauti.Kuna Jeneza la watu wenye fedha,wa kati na walala hoi.

Baada ya kufurahisha moyo wangu kwa kuangalia aina tofauti ya majeneza niliamuwa kwenda Mortuary.

Posted by nyahbingi worrior. Friday, March 18, 2011

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo