Recent Posts

Kuna sanaa nyingi sana,kuna aina nyingi ya sanaa,kuna sanaa ya upigaji ngoma,kuimba,maigizo,ngonjera,kwaya n.k.

Wakati ule,
ule wakati wa wazee wetu,wazee wetu walienzi sanaa kwa kuikuza na kuiheshimu sio kama leo apambo sanaa ni tiketi ya kwenda ugenini.

Sanaa ya msanii wa kiafrika aishiye Afrika na kwa ajili ya Mwafrika aishiye Afrika.Ngoma ya Mwafrika ni mahususi kwa mwafrika nasio mgeni atokaye ugenini,ukimpigia mgeni ngoma ya mwafrika haelewi,anakushangaa,ngoma ya mwafrika ibaki kwa waafrika waishio afrika.

Je!umewahi kuona mgeni akitupigia ngoma zao katika bara la Afrika?

Sanaa isiwe tiketi ya kwenda kudhalilisha utamaduni wetu ugenini.

Kumbuka..

kila ngoma ya mwafrika kutoka makabila tofauti ina miko,mizimu nk,tunapopiga ngoma zetu huwa tunaitukuza mizimu,mizimu hii hutubariki kama kwa kupata mazoa mengi au mvua au kizazi chenye maadili na nguvu.

Je,kizazi cha leo kina maadili?

jibu unalo.

Posted by nyahbingi worrior. Friday, March 18, 2011

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo