Recent Posts

Kizazi cha leo na kijacho hakitapata wakati wa hadithi kama enzi zangu.Nakumbuka hadithi za bibi,nakumbuka moshi wa jikoni huku bibi akitusimulia hadithi za maadili.

Swali....

Hivi kichen party ina maadili yoyote yale?

Nukuu katika kitabu chako........

Mwanamke wa leo hapendwi kwa kukata kiono bali kwa hekima na maadili.

watoto wa leo wanahadithiwa hadithi za kukata viono tu na ndio chanzo cha kutokuwa na maadili katika jamii.

Posted by nyahbingi worrior. Friday, March 18, 2011

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo