Recent Posts

mambo ndio hayo,habari ndio hiyo,vikombe vinazidi kushamiri,siwezi pinga au kukubali ngoja nisubiri mwisho wake. Mimi naamini sana katika miti shamba,napenda kutumia dawa za kiasili lakini dawa ya kiasili inatolowe kama da wa ya asili pasipo kushirikisha swala zima la dini. Mimi siamini kama ni mwisho wa dunia kwa haya matukio kutokea.

Posted by nyahbingi worrior. Tuesday, March 29, 2011

0 comments

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo