Recent Posts

PICHA KWA HISANI YA http://simbadeo.wordpress.com/

Ni vijana wangapi wa vijiweni walihudhuria kongamano hili?

Posted by nyahbingi worrior. Monday, April 25, 2011

3 comments

  1. Mwamko wako uko mbali sana, Mwenzangu. Wangekuwa watano kama wewe Barani Afrika, uhuru waMwafrika kihalisi ungekuwa tayari!

    Kwanzia jana nimeanza kuyapenda na kuyaunga mkono mawazo yako. Je, umetahamaki?

     
  2. Simon Kitururu anasema:
  3. Mmmmh!

     
  4. Mkuu GOODMAN.M.P naamini wako wengi wenye mawazo kuliko hata nyahbingi worriors lakini hapa tunakumbushana.Kongamano hili ni bure kabisa kwa hiyo vijana kuliko kushinda vijiweni wahudhurie naamini watapata moja au mawili.

    Mzee Simon...vipi tena..au?

     

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo