Recent Posts

jamani wana kijiji mpo?bado muda sana nitarudi.nimepata muda wa kutuma au kublog.
jamani nawamiss sana,tena sana.Huku niliko hakuna mtandao.

Posted by nyahbingi worrior. Monday, March 15, 2010

3 comments

  1. Yasinta Ngonyani anasema:
  2. Ni furahi kusikia toka kwako. Nasi pia twakumiss sana tu. Uwe na wakati mzuri!!

     
  3. Mija Shija Sayi anasema:
  4. Naungana na Yasinta kila la heri huko.

     
  5. Simon Kitururu anasema:
  6. MmH JAmani angalau guna tena!Wengine tukipita hapa tunapata sababu ya kujipendelea kwa kuhisi unatutenga.:-(

     

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo