Recent Posts


Da Mija,Simon Kitururu,Da Yasinta,Kamala,Bwaya,Serina,Vukani,Subi, swali kwenu.
Je huyu mama katika picha anaitwa nani?

Posted by nyahbingi worrior. Monday, June 7, 2010

5 comments

  1. ngoja nichukue miwani kwani naona labda ni wanaume wote....lol

    kwa kweli sijui

     
  2. Yasinta Ngonyani anasema:
  3. Ngoja mimi nijaribu, Huyu mama anaitwa Menen Asfaw ni mke wa Haile Selassie.

     
  4. Christian Bwaya anasema:
  5. Yasinta kaniwahi

     
  6. Mija Shija Sayi anasema:
  7. Mbona wote ni wanaume?

     
  8. Da Yasinta umepata,Bwaya ungewahi kidogo.

    Chacha Na Da Mija mi simo.

     

Post a Comment

Followers

Popular Posts

Luihamu Ringo