Wavumbuzi ni watu waajabu sana.Mvumbuzi atavumbua kitu kutokana na hali ya mazingira ya nchi hiyo.Hapa nyumbani kwetu,hivi vijinguo ambavyo dada zangu wanakimbilia kuvaa wanajuwa umuhimu wake?
Bado najiuliza G-STRING na mkesha wapi na wapi?Rejelea DIS BLOG.
Sunday, September 20, 2009
Kaaazi kweli kweli!
Binadamu matatizo mengine tunajitafutia wenyewe bila sababu na moja ni hizi nguo!:-(
Nimepita kukusalimia! kazi ipo kwa kweli!!!
Mzee Simon kazi ipo na sio ndogo.
Dada Yasinta Ngonyani karibu sana.